Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa, amesema ulimi ni kiungo kidogo, lakini una uwezo wa kuleta faida, hasara na kuvuruga amani, akisema baadhi ya watu duniani wameheshimiwa kutokana na namna wanavyotumia ulimi wao vizuri.

Back to Home
Malasusa: Tuchunge ndimi, tusivuruge amani na umoja
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
