Mkazi wa Kijiji cha Dareda Kati, Kata ya Ayagalaya, wilayani Babati, Mkoa wa Manyara, Rahma Mpinga (19), amelalamikia kuibiwa mtoto wake mchanga na watu wasiojulikana waliojifanya kuwa daktari na muuguzi wa kituo cha afya Dareda Kati.

Back to Home
Mama mwingine aibiwa mtoto mchanga hospitali
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
