Wakulima wa Mkoa wa Simiyu wamesema maonyesho ya Nanenane yamekuwa chachu ya mabadiliko katika shughuli za kilimo kwa kuwapatia maarifa ya teknolojia za kisasa, matumizi ya mbegu bora na mbinu zinazowawezesha kuongeza uzalishaji na kipato.

Back to Home
Maonyesho ya Nanenane yawabadilisha wakulima Simiyu
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
