Serikali ya Marekani kupitia Idara ya Sheria (DOJ) na Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI), imesema imezima miundombinu ya majukwaa mawili ya udukuzi, QScan na QTRouter, yanayodaiwa kutumiwa na kundi la wadukuzi linalofadhiliwa na China kulenga taasisi za Serikali na mitandao nyeti nchini humo na sehemu nyingine duniani.

Back to Home
Marekani yadai kuzima majukwaa ya udukuzi ya China
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
