Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Masauni amewataka wananchi kuepuka kuingiza nchini gesi zilizopigwa marufuku pamoja na majokofu na viyoyozi (AC) vya mitumba vinavyotumia gesi zinazoharibu tabaka la ozoni.

Back to Home
Masauni atoa tahadhari vifaa vya mitumba vinayoharibu Ozoni
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
