Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamshikilia Jactan Mgeni (31), anayetuhumiwa kuhusika na mauaji ya baba yake mdogo, Alfred Mgeni (65), na mkewe, Betes Msigala (55), waliouawa Agosti 8, 2026 katika Kijiji cha Ivigo, Kata ya Igosi, Wilaya ya Wanging’ombe.

Back to Home
Mbaroni akituhumiwa kumuua baba yake mdogo na mke wake
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
