Mgomo wa wafanyakazi wa sekta ya usafiri wa anga nchini Kenya uliosababisha usumbufu wa safari za ndege katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA), Nairobi na viwanja vingine, umesitishwa baada ya pande husika kufikia makubaliano ya kurejea kazini.

Back to Home
Mgomo wafanyakazi wa anga Kenya wasitishwa
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
