Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Dk Vicent Anney ameitaka Mamlaka ya Mji Mdogo wa Maswa kuendesha shughuli zake kwa kuzingatia sheria na miongozo, badala ya kujikita katika migogoro ya ndani.Akizungumza leo Alhamisi Septemba 10, 2026 katika kikao cha Baraza la Mamlaka hiyo, Dk Anney amesema hatavumilia mpasuko unaodaiwa kuwagawa wajumbe katika makundi mawili.

Back to Home
Migogoro yamkera DC Maswa, atoa neno
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
