Serikali imekabidhi ndege nyuki (drones) 40 zenye thamani ya takriban Sh2.4 bilioni kwa taasisi za uhifadhi, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kutumia teknolojia kuimarisha doria, ufuatiliaji wa wanyamapori na kukabiliana na migongano baina ya binadamu na wanyamapori nchini.

Back to Home
Serikali yatoa droni 40 kuimarisha doria, ufuatiliaji wanyamapori
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
