Zaidi ya wananchi milioni 2.9 wanatarajiwa kunufaika na huduma za mawasiliano baada ya Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), kuanza ujenzi wa minara 287 katika maeneo ambayo bado hayajafikiwa kikamilifu na huduma hiyo.

Back to Home
Minara 287 kuunganisha wananchi milioni 2.9
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
