Mjane ameiomba Serikali mkoani Songwe kumsaidia kurejesha mashamba aliyodai kuachiwa na marehemu mume wake, baada ya eneo hilo kuuzwa na mtoto wa mke mwenza kwa madai hakuwa na haki ya kulimiliki kwa kuwa hakuzaa na baba yake.

Back to Home
Mjane aporwa ardhi kwa madai hakuzaa na mumewe, RC aingilia kati
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
