Moto mkubwa ambao chanzo chake hakijafahamika, umezuka katika eneo la Second Cave katika Hifadhi ya Taifa ya Kilimanjaro (Kinapa), njia ya Rongai, ambapo eneo hilo ni urefu wa takribani meta 3,400 kutoka usawa wa bahari.

Back to Home
Moto wazuka Mlima Kilimanjaro, vikosi vyahaha kuuzima
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
