Wakazi wa mitaa ya Salunda na Viwandani katika halmashauri ya mji wa Bariadi mkoani Simiyu wataondokana na adha ya upatikanaji wa maji safi na salama baada ya mradi wa Sh370.9 milioni kuwekwa jiwe la msingi na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa, Wazo Mwang'onda.

Back to Home
Mradi wa Sh370.9 milioni kuondoa adha ya maji Bariadi
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
