Mradi wa maji wenye thamani ya zaidi ya Sh98.5 milioni, umewaondolea hofu wakazi wa Kijiji cha Mwiseni, Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, waliokuwa wakilazimika kuchota maji Ziwa Victoria huku wakikabiliwa na hatari ya kushambuliwa na mamba.

Back to Home
Mradi wa Sh98.5 milioni kunusuru wananchi kuliwa na mamba Bunda
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
