Hatimaye, Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imepanga kukutana na pande mbili zinazokinzana kuhusu uongozi ndani ya Chama cha Wananchi (CUF), Oktoba 26, 2026 katika kutafuta suluhu ya mgawanyiko unaoendelea kukitafuna chama hicho.

Back to Home
Msajili kukutana na pande mbili za CUF zinazosigana
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
