Jeshi la Polisi limefanikiwa kuwarejesha shuleni wanafunzi 114 kati ya wanafunzi 573 waliokuwa hawajaripoti shule licha ya kutakiwa kuanza masomo, kufuatia operesheni maalumu iliyofanyika mwezi uliopita.

Back to Home
Msako wa Polisi majumbani warejesha shule wanafunzi 114
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
