TRENDING
Mtendaji wa Kijiji na wenzake wanne kizimbani wa kuuza shamba
Back to Home

Mtendaji wa Kijiji na wenzake wanne kizimbani wa kuuza shamba

Mwananchi about 2 hours 1 mins read
Aliyekuwa Kaimu Mtendaji wa Kijiji cha Mboliboli, Wilaya ya Iringa, Amini Mwakisambwe, pamoja na wakazi wanne wa kijiji hicho wamefikishwa katika Mahakama ya Mkoa wa Iringa wakikabiliwa na makosa mbalimbali ya rushwa, matumizi mabaya ya madaraka na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu baada ya kudaiwa kuuza shamba ambalo hawakuwa na mamlaka ya kisheria kulimiliki.

This article was sourced from an external publication.

Share this article

Comments (0)

Want to join the discussion?

Sign in to post comments and engage with the community.

Be the first to comment!

DR Congo

View All

Traditional Affairs

View All
AD

Somalia

View All

Senegal

View All
AD
OneClick Africa Logo

Africa's premier digital hub for impactful news, entertainment, and business insights.

© 2026 OneClick Africa. All rights reserved.