Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka mitano, Samike Mponeja, mkazi wa Kijiji cha Gulumwashi, Kata ya Malampaka, wilayani Maswa, mkoani Simiyu, ameuawa kikatili baada ya kutekwa na watu wanaodaiwa kudai Sh7 milioni kutoka kwa wazazi wake.

Back to Home
Mtoto wa miaka mitano auawa, watekaji wataka Sh7 milioni
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
