Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linamshikilia Maiko Kazikulima (35), mkazi wa Kijiji cha Mashete, Kata ya Mashete, Wilaya ya Nkasi, kwa tuhuma za kumuua mkewe, Victoria Mputa (32) kwa kumpiga rungu kichwani.

Back to Home
Mume mbaroni kwa tuhuma za kumuua mkewe
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
