Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Loreto, Stellah Shilingi (15) amefariki dunia baada ya kujirusha kutoka juu ya ghorofa hadi chini katika Mtaa wa Majengo Mapya, Kata ya Nyakato, Wilaya ya Ilemela.

Back to Home
Mwanafunzi ajirusha ghorofani, afariki dunia
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
