Mwanamke anayefahamika kwa jina la Scola Benard (23), mkazi wa Kijiji cha Lyasongoro, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro amepoteza viganja vya mikono yote miwili baada ya kushambuliwa kwa kitu chenye ncha kali na mwanaume anayedaiwa kuwa na uhusiano naye kimapenzi.

Back to Home
Mwanamke akatwa viganja vya mikono, mwanaye akikatwa shavu
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
