Watendaji serikalini wametakiwa kubadili mtazamo katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kwa kuacha kutaka kufanya kila shughuli za kiuchumi wenyewe na badala yake kujenga mazingira yatakayowezesha sekta binafsi kushiriki zaidi.

Back to Home
Mwigulu: Acheni kudhibiti, fungueni njia kwa sekta binafsi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
