Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amesema Serikali inatambua hatima ya Taifa inategemea aina ya malezi ya familia, hivyo kuna kila sababu kwa viongozi wa dini nchini kuwajibika katika hilo.

Back to Home
Mwigulu awatwisha zigo la malezi viongozi wa dini
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
