Baadhi ya makabila yaliyofika kushiriki tamasha la kitaifa utamaduni ni pamoja na Wagogo ambao wamekuja na vazi la utamaduni ambalo linatumika kuwavalisha vijana wanapotoka jandoni baada ya kufanyiwa tohara.

Back to Home
Wagogo waja na vazi la jandoni kwenye tamasha la Taifa la Utamaduni
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
