Hatimaye Mahakama ya Wilaya ya Nyamagana imemaliza utata wa mazishi ya mvuvi Wambura Mambya (54), ambaye mwili wake ulikuwa umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza, Sekou Toure, ukisubiri kutatuliwa mgogoro wa pande mbili za familia.

Back to Home
Mwili uliogombewa na wake, ndugu kuzikwa Bunda
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
