Mtoto Yusra Juma (7), mkazi wa Mtakuja, Kata ya Malolo, Manispaa ya Tabora, amekutwa amefariki dunia ndani ya shimo la kuchimbwa mchanga, huku Jeshi la Polisi likisema uchunguzi wa awali umebaini alinyongwa na watu ambao hawajafahamika.

Back to Home
Mwili wa mtoto wa miaka saba wakutwa shimoni Tabora
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
