Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeahidi kutekeleza mpango wa Serikali wa kuwawezesha wanawake na vijana katika mnyororo wa thamani wa kilimo, ikisema tayari imeanza kutoa huduma za kifedha kwa wakulima na vyama vya ushirika.

Back to Home
NBC kuendelea kuwezesha wanawake, vijana katika kilimo
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
