Wakati wanafunzi 1,168,649 wakitarajiwa kuanza mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kesho Septemba 9, 2026, Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limewaonya wadau wa elimu dhidi ya vitendo vya udanganyifu, likisema halitasita kuchukua hatua kali kwa vituo vitakavyohatarisha uadilifu wa mtihani.

Back to Home
Necta yaonya udanganyifu mtihani wa darasa la saba
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
