Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limewataka Watanzania kuchukua tahadhari na kuimarisha utunzaji wa mazingira kuelekea msimu wa mvua za El Nino, kufuatia tahadhari iliyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA).

Back to Home
NEMC yatoa tahadhari kuelekea mvua za El Nino
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
