Serikali imezindua dirisha la kuwasilisha miswada kwa ajili ya duru ya tano ya tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya uandishi bunifu, hatua inayolenga kuhamasisha uandishi, usomaji na ukuzaji wa Kiswahili nchini na nje ya Tanzania.

Back to Home
Pazia tuzo ya Mwalimu Nyerere lafunguliwa
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
