Jeshi la Polisi wilayani Maswa, mkoani Simiyu, limegeuza maadhimisho ya miaka 20 ya dhana ya Polisi Jamii kuwa fursa ya kuwafikia wananchi kwa vitendo baada ya kutembelea Hospitali ya Wilaya ya Maswa na kutoa misaada kwa wagonjwa, kuchangia damu na kufanya usafi.

Back to Home
Polisi Maswa yatoa msaada kwa wagonjwa
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
