Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kinondoni ameshambuliwa kwa ngumi na mateke na dereva mmoja wakati akimzuia kutumia barabara ya huduma (Service Road) katika eneo la Lugalo, Dar es Salaam, jambo ambalo ni kinyume na utaratibu.

Back to Home
Polisi yamshikilia dereva aliyempiga trafiki Dar, sababu zatajwa
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
