Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo, amesema ujenzi barabara 19 umeanza kupitia mradi wa awamu ya pili wa Uboreshaji wa Jiji la Dar es Salaam (DMDP), ili kuboresha miundombinu na kurahisisha usafiri na usafirishaji kwa wananchi jimbo hilo.

Back to Home
Profesa Kitila: Ujenzi barabara 19 Ubungo unaendelea, Mzee wa soma hiyo asema...
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
