Mkoa wa Pwani umeanza kuchukua hatua za mapema kukabiliana na madhara yanayoweza kusababishwa na mvua za El Nino zinazotarajiwa kunyesha kati ya Oktoba na Desemba mwaka huu, huku wananchi wanaoishi maeneo hatarishi wakitakiwa kujiandaa mapema.

Back to Home
Pwani yajipanga kukabiliana na mvua za El Nino
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
