Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi amemwagiza Katibu Tawala wa mkoa huo, kufanya uchunguzi katika halmashauri zote tisa kubaini matumizi yasiyo sahihi ya fedha za lishe, ili zichukuliwe hatua dhidi ya watakaobainika kwenda kinyume na miongozo.

Back to Home
RC Mara aagiza uchunguzi matumizi ya fedha za lishe
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
