Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Rose Ambrose amewaagiza viongozi wa Wakala wa Maji na usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa) ngazi za mikoa na wilaya kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi, ili kuongeza uwezo wa taasisi hiyo kukusanya asilimia 70 ya fedha zinazohitajika kutekeleza miradi ya maji katika vijiji 1,575 visivyo na huduma hiyo nchini.

Back to Home
Ruwasa yaagizwa kupeleka maji vijiji 1,575
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
