Rais wa Rwanda, Paul Kagame ameilaumu tena Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kwa kuendelea kwa mzozo katika mashariki mwa nchi hiyo, akihusisha ushiriki wa Rwanda katika mgogoro huo na kuendelea kuwepo kwa FDLR, kundi la waasi lenye asili ya Wahutu wa Rwanda, katika ardhi ya DRC.

Back to Home
Rwanda yaituhumu DRC kusaidia kikundi cha waasi katika ardhi yake
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
