Rais Samia Suluhu Hassan ametaka ukuaji wa miji nchini uongozwe na mipango inayotazama mahitaji ya muda mrefu, huku akidokeza dhamira ya Serikali kujenga nyumba za ghorofa ili kukidhi ongezeko la wakazi mijini.

Back to Home
Samia aeleza mpango wa nyumba za ghorofa, mwendokasi kufika Bagamoyo
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
