Saratani ya mlango wa kizazi imeendelea kuwa tishio kubwa kwa wanawake nchini, ikiongoza kwa idadi ya wagonjwa na vifo vinavyotokana na saratani, huku wataalamu wakisisitiza umuhimu wa uchunguzi wa mara kwa mara ili ugonjwa huo ugundulike mapema.

Back to Home
Saratani ya mlango wa kizazi yaongoza kwa vifo Tanzania
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
