TRENDING
Serikali kuwakutanisha wataalamu kufanya tafiti dawa za asili
Back to Home

Serikali kuwakutanisha wataalamu kufanya tafiti dawa za asili

Mwananchi about 2 hours 1 mins read
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ametangaza mpango wa Serikali kuwakutanisha wataalamu wa afya, wataalamu wa tiba asilia, wanasheria na watafiti kwa lengo la kuweka mkakati wa pamoja wa kufanya tafiti za kisayansi kuhusu dawa za asili zinazotumika kutibu magonjwa mbalimbali nchini.

This article was sourced from an external publication.

Share this article

Comments (0)

Want to join the discussion?

Sign in to post comments and engage with the community.

Be the first to comment!

DR Congo

View All
AD

Senegal

View All

Somalia

View All

Traditional Affairs

View All
AD
OneClick Africa Logo

Africa's premier digital hub for impactful news, entertainment, and business insights.

© 2026 OneClick Africa. All rights reserved.