Katika kukabiliana na mvua za El Nino, Serikali imeanza operesheni ya kutembea nyumba kwa nyumba Kata ya Itezi jijini Mbeya kutoa elimu kwa wananchi na kuhamasisha kuchukua tahadhari ili kuepukana na madhara yanayoweza kutokea.

Back to Home
Serikali Mbeya yaelimisha wananchi tahadhari ya El-Nino
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
