Serikali imewataka wakulima, wafugaji na wavuvi nchini kubadili mfumo wa uzalishaji kwa kuanza kutafuta taarifa za mahitaji ya soko kabla ya kuanza uzalishaji, ikisema utaratibu wa kuzalisha kwanza na kutafuta wanunuzi baada ya mavuno umekuwa ukisababisha hasara kwa wazalishaji wengi.

Back to Home
Serikali: Wakulima wazalishe kwa kuzingatia mahitaji ya soko
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
