Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali bado ina udhaifu katika ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa mipango na miradi ya maendeleo, akitaka kila shilingi inayotengwa ipimwe kwa matokeo badala ya kuangalia matumizi na taarifa za utekelezaji pekee.

Back to Home
Serikali yakiri udhaifu ufuatiliaji wa mipango, yataka kila shilingi ipimwe
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
