TRENDING
Serikali yapiga ‘stop’ ujenzi eneo la Uhuru Park Moshi
Back to Home

Serikali yapiga ‘stop’ ujenzi eneo la Uhuru Park Moshi

Mwananchi about 2 hours 1 mins read
Serikali ya Mkoa wa Kilimanjaro imesimamisha kwa muda ujenzi unaoendelea katika eneo la wazi la Uhuru Park, Manispaa ya Moshi, baada ya kubaini kuwa taratibu za kuomba kibali kutoka Wizara ya Ardhi hazikufuatwa. Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kuagiza uchunguzi wa suala hilo.

This article was sourced from an external publication.

Share this article

Comments (0)

Be the first to comment!

Football Transfers

View All

Lionel Messi

View All
AD

Süper Lig

View All

Ligue 1

View All
AD

Scottish Premiership

View All
OneClick Africa Logo

Africa's premier digital hub for impactful news, entertainment, and business insights.

© 2026 OneClick Africa. All rights reserved.