Serikali imeitaka Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) kuchukua hatua za haraka dhidi ya baadhi ya wafanyabiashara wanaodaiwa kufanya udanganyifu katika masoko ya kimataifa kwa kuchukua fedha kutoka kwa wanunuzi wa nje bila kupeleka bidhaa za mkonge walizoahidi.

Back to Home
Serikali yataka hatua kwa wafanyabiashara wanaochafua taswira ya Tanzania
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
