Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Juma Malik Akil amesema hali ya uchumi wa Zanzibar inaipa Serikali uwezo wa kuwekeza kwa pamoja na sekta binafsi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Back to Home
Serikali Zanzibar, sekta binafsi wateta mpango wa maendeleo 2026/31
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
