Spika wa Bunge, Mussa Zungu, amekerwa na hali ya uchafu katika Jiji la Dar es Salaam na miji mingine nchini, akiwataka viongozi na watumishi wa Serikali kubadili fikra na mtazamo kuhusu miradi ya ubia kati ya sekta ya umma na binafsi (PPP).

Back to Home
Spika Zungu akerwa na uchafu, awataja Tamisemi
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
