Malumbano ya kisiasa nchini Kenya yameendelea kupamba moto kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027, baada ya Rais William Ruto kuwatuhumu baadhi ya wapinzani wake kuwa wanatumwa na “sponsor” ambaye hakumtaja, lakini maelezo yake yakionekana kumlenga Rais mstaafu, Uhuru Kenyatta.

Back to Home
Sura mbili mbio za uchaguzi Kenya, Ruto akimrushia kijembe Kenyatta
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
