Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kagera, imefanikisha uokoaji wa zaidi ya Sh2.7 bilioni kati ya Sh5.2 bilioni zilizokuwa zinadaiwa na kampuni binafsi 146 kwa michango ya wafanyakazi wao katika Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).

Back to Home
Takukuru Kagera yaokoa Sh2.7 bilioni michango NSSF
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
