Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imekabidhi vifaa tiba viwili katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Geita kwa ajili ya kusaidia huduma kwa watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (njiti) na wanaokabiliwa na tatizo la manjano.

Back to Home
Takukuru yakabidhi vifaa tiba kusaidia watoto njiti Geita
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
